ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI
Showing posts with label Wababe England wamwinda Kroos. Show all posts
Showing posts with label Wababe England wamwinda Kroos. Show all posts

Thursday, February 6, 2014

Wababe England wamwinda Kroos

kroos d8e08
London, England. Milango ipo wazi kwa klabu kubwa za Ligi Kuu England kumsajili kiungo wa Bayern Munich, Toni Kroos ambaye mazungumzo ya mkataba wake mpya na klabu yake yamevunjika.
Kroos, amekuwa akifuatiliwa kwa karibu na Manchester United hasa wakati wa dirisha dogo la usajili ambalo lilifungwa Januari 31.
Kiungo huyo ambaye thamani yake ni Pauni 25 aliingia matatani wiki iliyopita baada ya kutolewa katika mchezo wa Ligi Kuu ya Ujerumani dhidi ya Stuttgart, jambo ambalo lilimchukiza.
Kitendo hicho kilimchefua kocha wake, Pep Guardiola ambaye ameamua kumwondoa katika kikosi chake.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...