Msichana huyu alikuwa afe kwa sababu madaktari wanaoweza kuutibu ugonjwa wake ni wachache sana duniani. Alifanyiawa operesheni zaidi ya mara nne ili kuongoa mifupa iliyokuwa inakuwa katika taya lake la chini ya uso hadi kufikia kuli saba. fuatilia kisa hichi ili mimi na wewe tuweze kuwa na shukrani kwa Muumba wetu aliyetuumba bila matatizo mengi
Hapa akifanyiwa upasuaji wa kwanza na Dr. Gomez
Hapa ni baada ya kuondolewa mifupa ya awali iliyokuwa inarefuka na kuwekewa mifupa ya plasiki
God is great. Lutgard
ReplyDelete