
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza katika kikao
chake cha Sekretarieti na Makatibu wa CCM wa mikoa, leo, Desemba 11,
2012, katika ukumbi wa Sekretarieti, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM,
Lumumba jijini Dar es Salaam. Wengine kutoka kulia ni Naibu Katibu Mkuu
wa CCM (Bara) Mwigulu Nchemba na wengine kutoka kushoto ni Makatibu wa
NEC, Asha-Rose Migoro (Siasa na Mambo ya Nje), Zakia Meghji (Uchumi na
Fedha), Nape Nnauye (Itikadi na Uenezi) na Naibu Katibu Mkuu wa CCM
(Zanzibar) Vuai Ali Vuai.

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza katika kikao
chake cha Sekretarieti na Makatibu wa CCM wa mikoa, leo katika ukumbi wa
Sekretarieti, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es
Salaam. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Zanzibar) Vuai Ali Vuai.

Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Zanzibar) Vuai Ali Vuai akisalimiana
na Katibu wa NEC, Siasa na Mambo ya Nje, Asha-Rose Migiro, kabla ya
kuanza kikao cha Sekretarieti na Makatibu wa CCM wa mikoa, leo katika
ukumbi wa Sekretarieti, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba
jijini Dar es Salaam. Katikati ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape
Nnauye na Katibu wa NEC, Oganaizesheni Muhammed Seif Khatib.

Makatibu wa CCM wa mikoa wakiwa kwenye mkutano wao na Katibu Mkuu
wa CCM, Abdulrahman Kinana, leo katika ukumbi wa Sekretarieti, Ofisi
Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam.Picha na
Bashir Nkoromo
No comments:
Post a Comment