NYUMBANI
NAFASI ZA KAZI
MSAADA WA ELIMU
JOIN US
GOLDEN STATIONARY
INTERNET CAFE
GX100 DESIGNS
ADV
ADVERTISEMENT CORNER
HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE
Subscribe our Feed
Follow me on Twitter
Find me on Facebook
Join me on Google+
Connect with LinkedIn
SOMA HABARI
Wednesday, January 9, 2013
‘BETHIDEI’ YA BENY KINYAIYA YAFANA KWENYE BAA YAKE KINONDONI
Wednesday, January 9, 2013
Beny Kinyaiya (kulia) akiwa ameshikilia keki ya sherehe yake kabla ya kuikata na kuwalisha wageni wake.
Marafiki zake wakimmwagia pombe na maji.
…Akiendelea kumwagiwa maji.
Mvua ya maji na pombe ikiendelea kumuangukia.
‘Mzaliwa leo’ akiomba asiendelee kumwagiwa maji.
Beny akikata vipande vya keki kuwalisha waalikwa
.
Huyo ni rafiki yake.
…Akimlisha Lady Naa keki.
…Akila keki kwa staili yake.
Huyo ni kaka yake Beny.
Castor Dickson akionjeshwa keki.
Babu wa Kitaa alikuwepo.
Nisha naye alishiriki.
Steve Nyerere akionja ladha ya keki hiyo.
Babu wa Kitaa akipata chakula na marafiki zake.
Steve Nyerere, Nisha na marafiki zao wakiwa katika pozi.
Baadhi ya waalikwa wakipata ‘mbili-tatu’.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment