Mwili wa Juma Kilowoko 'Sajuki' ukiswaliwa nyumbani kwake Tabata-Bima jijini Dar es Salaam leo kabla ya kwenda kuzikwa.
Mwili wa Sajuki ukipelekwa uwanjani kwa ajili ya kuswaliwa na masheikh.…
Mwili wa Juma Kilowoko 'Sajuki' ukiswaliwa nyumbani kwake Tabata-Bima jijini Dar es Salaam leo kabla ya kwenda kuzikwa.
Mwili wa Sajuki ukipelekwa uwanjani kwa ajili ya kuswaliwa na masheikh.
Vilio vikitawala msibani hapo.
Mama mzazi wa Sajuki akilia kwa uchungu wakati mwili wa mwanaye ukiswaliwa.
(PICHA: KWA HISANI YA GLOBAL PUBLISHHERS)
No comments:
Post a Comment