ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Friday, January 4, 2013

RAIS KIKWETE AONGOZA MAELFU KUMZIKA JUMA KILOWOKO 'SAJUKI' JIJINI DAR LEO

 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo katika kaburi la marehemu Sadick Juma Kilowoko 'Sajuki' leo.
 
Baba mzazi wa Sajuki, Mzee Kilowoko akiweka udongo katika kaburi la mwanaye.
---
MAELFU ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam leo wamejitokeza katika…

 
Umati wa watu waliohudhuria mazishi hayo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo katika kaburi la marehemu Sadick Juma Kilowoko 'Sajuki' leo.
Baba mzazi wa Sajuki, Mzee Kilowoko, akiweka udongo katika kaburi la mwanaye.
Mwili wa marehemu Sajuki ukishushwa kutoka kwenye gari.
 
.Ukipelekwa makaburini.
 
...Mwili wa marehemu Sajuki ukipelekwa makaburini kwa maziko.
 
Kaburi alipolazwa marehemu Sajuki.
 
Mwili wa Sajuki ukiteremshwa kaburini.
 
Mazishi ya Sajuki yakiendelea.
 
Rais Kikwete pamoja na Simon Mwakifwamba wakifuatilia mazishi ya Sajuki.
Umati wa watu waliohudhuria mazishi hayo.
---
MAMIA ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam leo wamejitokeza katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam kumpumzisha mpendwa wao, Sadick Juma Kilowoko 'Sajuki', aliyefariki dunia alfajiri ya Januari 2, mwaka huu (Jumatano) katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Miongoni mwa waliomzika Sajuki ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete.

Mazishi ya Sajuki yakiendelea.
MAELFU ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam leo wamejitokeza katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam kumpumzisha mpendwa wao Sadick Juma Kilowoko 'Sajuki' aliyefariki dunia alfajiri ya Januari 2, mwaka huu (Jumatano) katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Miongoni mwa waliomzika Sajuki ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete

Picha na habari kwa hisani ya Global Publishers

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...