ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Wednesday, January 23, 2013

MAKAMU WA RAIS MGENI RASMI KUMBUKUMBU YA KUZALIWA KWA MTUME MOHAMED (SWA)


BILAL1MAKAMU wa Rais Dk Mohamed Gharib Bilali anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye maulidi ya kumbukumbu ya kuzaliwa Mtume Mohamed (SWA), yatakayofanyika katika viwanja vya Mnazimoja, jijini Dar es Salaam leo.
Akizungumza jijini jana, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salim, alisema siku hiyo ni muhimu kwa waumini wa dini ya kiislam wote dunia ambapo yatanza saa 3:00 usiku katika viwanja hivyo.
Alisema waislam wote wajitokeze kwa ajli ya kwa ajili ya kumbukumbu hiyo, ambapo ujumbe wa safari hii ni ‘Tudumishe amani na utii wa sharia kwa wote’.
Aidha, sherehe hizo ni za kidini hivyo, ni lazima kila atayehudhuria katika viwanja hivyo asitoke nje ya mipaka ya dini, na atakayekwenda kinyume atakuwa amejitafutia laana kutoka kwa Mnyazi Mungu.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...