ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Thursday, January 10, 2013

Mikutano ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba na Vyama Vya Siasa Nchini


  MwenyekitiwaTume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba akizungumza na Viongoziwa Chama cha Democratic (DP) wakiongozwanaMwenyekitiwaoMchungaji Christopher Mtikila(kushoto) waliofikakatika Ofisiza Tume Jijini Dar es Salaam kuwasilisha maoni yao kuhusu Katiba Mpya. Katikati ni Katibu waTume, Assaa Rashid.
  Mwenyekitiwa Chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila akizungumza katika mkutano uliofanyika leo katika Ofisiza Tume hiyo Jijini Dar es Salaam na Chama hicho kilipowasilisha maoniyao Kuhusu Katiba Mpya mbele ya Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba wakiongozwa na Jaji Joseph Warioba. Kuliani Katibu waTume, Assaa Rashid na Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Joseph Warioba.
Katibu Mkuu wa Chama cha Wakulima (AFP), Rashidi Mohamed akiwasilisha maoni yao kuhusu Katiba kwa Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika mkutano uliofanyika katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam jana.
 Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Ndg. Riziki Mngwali akizungumza katika mkutano uliofanyika katika viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam baina ya Tume hiyo na Chama cha Wakulima (AFP), wakati ujumbe wa Chama hicho ulipowasilisha maoni yao kuhusu Katiba Mpya jana.
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Mhe. Raya Hamad akizungumza katika mkutano na Viongozi wa Chama cha Wakulima (AFP) uliofanyika katika viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam wakati Chama hicho kilipowasilisha maoni yao kuhusu Katiba Mpya jana.
 Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk. Salim Ahmed Salim (wa pili kushoto) akizungumza katika mkutano na Viongozi wa Chama cha Kijamii (CCK) uliofanyika katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam wakati Chama hicho kilipowasilisha maoni yao kuhusu Katiba Mpya jana.
 Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Eather Mkwizu (kulia) akizungumza katika mkutano na Viongozi wa Chama cha Kijamii (CCK) uliofanyika katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam wakati Chama hicho kilipowasilisha maoni yao kuhusu Katiba Mpya janA.
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Ussi Khamis, akizungumza katika mkutano na viongozi wa Chama cha Kijamii (CCK), uliofanyika katika viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam, wakati Chama hicho kilipowasilisha maoni yao kuhusu Katiba Mpya jana..
 Mwenyekiti wa Chama cha Kijamii (CCK), Constantine Makitanda akizungumza katika mkutano uliofanyika katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam na Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba mara baada ya  Chama hicho kuwasilisha maoni yao kuhusu Katiba Mpya jan.
Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Union for Multiparty Democracy (UMD) wakifuatilia mkutano baina yao na Tume ya Mabadiliko ya Katiba jana, ambapoUongozi wa Chama hicho uliwasilisha maoni yao ya Katiba Mpya.Picha na Tume ya Mabadiliko ya Katiba

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...