Mwenyekiti
wa Chama cha Wamiliki wa Vyombo vya Habari (MOAT) Bw. Reginald Mengi
akitoa maoni ya chama hicho kuhusu Katiba Mpya katika mkutano na Tume ya
Mabadiliko ya Katiba leo (Alhamisi, Jan 10, 2013) katika ofisi za Tume
jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mjumbe wa Tume hiyo Prof. Palamagamba
Kabudi.
Mwanachama
wa Jukwaa la Wahariri (TEF) Bw. Deodatus Balile akiwasilisha maoni ya
Jukwaa hilo kuhusu Katiba Mpya katika mkutano uliofanyika katika ofisi
za Tume jijini Dar es Salaam leo (Alhamisi, Jan 10, 2013). Wengine ni
Bw. Ruge Mutahaba (kushoto) kutoka Clouds Media Group na Bw. Yasin Sadik
kutoka gazeti la Hoja.
Katibu
Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Bw. Kajubi Mukajanga
akiwasilisha maoni ya Baraza hilo kuhusu Katiba Mpya katika mkutano
uliofanyika katika ofisi za Tume jijini Dar es Salaam leo (Alhamisi,
Jan 10, 2013). Kulia ni Bi. Pili Mtambalike kutoka MCT.
Mwenyekiti
wa Jukwaa la Katiba Bw. Absolom Kibanda akimkabidhi maoni ya Jukwaa
hilo kuhusu katiba Mpya Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Prof.
Mwesiga Baregu katika ofisi za Tume jijini Dar es Salaam leo (Alhamisi,
Jan 10, 2013).
No comments:
Post a Comment