ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Sunday, January 13, 2013

Mwanaharakati alieanzisha vita vya uhuru wa mitandao “Guerrilla Open Access Manifesto.” amejinyonga

 
   
 
 

 
  

  
  



Mwanaharakati wa mambo ya uhuru wa mitandao aliyeanzisha mtandao unaoitwa “Guerrilla Open Access Manifesto” na mwanzilishi wa RSS na mwanzilishi wa  reddit.com amejiua.
Akiwa na miaka 14 tu Aaron Swartz  alianzisha program inayojulikana ka RSS (Rich Site Summary) (au wengine wanaiita Really Simple Syndication) Hii ni proram ambayo hutumika hadi leo kuwawezesha watumiaji wa Internet na bolgs kukopi, kuhifana kutuma machapisho, picha nna mbalimbali kutoka katika mitandao mingine. Kabla ya ugunduzi huu, ilikuwa si rahisi kwa mtu yeyote kuweza kukopi machapisho ya mtu mwingie kwenye mitandao. 
“RSS feeds benefit publishers by letting them syndicate content automatically. A standardized XML file format allows the information to be published once and viewed by many different programs. They benefit readers who want to subscribe to timely updates from favorite websites or to aggregate feeds from many sites into one place”. RSS feeds inaweza kusomwa na software inayoitwa RSS reader au aggregator.
Aaron Swartz aliuza hisa zake kwa kwa kampuni ya Reddit.com ambayo yeye ni mmojawapo wa waanzilishi wake. Kampuni hiyo imetangaza leo kwamba Aaron amejiua kwa kujinyonga kwenya apartment yake huko Brooklyn New York usiku wa kuamkia jana akiwa na miaka 26 tu. Hata hivyo Aaron alikuwa ameshitakiwa kwa kosa la kuiba mamilioni ya nyaraka za Serikali na za kitaaluma kwa lengo la kuzifanya zisomwe na kutumiwa kwa namna yeyote ile na watu wote. Watu wengi wamelaumu waendesha mashtaka wake kwakuwa ndiyo watakuwa wamesababisha ajiue.
“Aaron Swartz hanged himself in his Brooklyn apartment Friday night, his family and authorities said. The 26-year-old had fought to make online content free to the public and as a teenager helped crease RSS, a family of Web feed formats used to gather updates from blogs, news headlines, audio and video for users” In 2011, he was charged with stealing millions of scientific journals from a computer archive at the Massachusetts Institute of Technology in an attempt to make them freely available.
Usikilizwaji wa kesi yake ulikuwa uanze baadaye mwezi huu na kama angepatikana na hatia angefungwa hadi miaka 50 jena na kulipa faini ya  dola milioni 4 kutokana na makosa 13 yaliyokuwa yakimkabili.  
Raiaa Marekani na duniani kote wamechukizwa sana na mashataka yake ambayoo wanaamini ndiyo yaliyompa msongo wa mawazo na kupelekea kujiua kwake kuwa mastaka dhidi yake si tu uonevu bali pia ni ukandamizaji wa haki za binadamu na ukandamizaji wa uhuru wa habari.
 "Aaron's death is not simply a personal tragedy. It is the product of a criminal justice system rife with intimidation and prosecutorial overreach. Decisions made by officials in the Massachusetts U.S. Attorney's office and at MIT contributed to his death,"
Hata hivyo mwanasheria waserikali katika jimbo la Boston hakupatikana kuelezea mkasa huo. Hata hivyo mwanasheria huyo alishawahi kusema kwamba, wizi ni wizi tu hata kama umeiba nini. 
U.S. Attorney Carmen Ortiz in Boston couldn't be reached for comment. She previously has said that "stealing is stealing, whether you use a computer command or a crowbar, and whether you take documents, data or dollars," The New York Times reported Saturday.
Mitandao mingi ya kijamii kama facebook na twiter na mingineyo imemwelezea Aaron kama mtu shupavu aliyejitolea bila faida kuhakikisha watu wote wanapata habari muhimu bila malipo na kuzitumia, kuzihifadhi au kuzichapisha tena ilimradi tu wasite zilikotoka. Wengi wanaosoma online wanajua ni kwa namna gani wanafaidika kupata habari (materials) mbalimbali kupitia mitandao, yote haya ni juhudi zilizokuwa zinafanywa na watu kama Aaron kuhakikisha kwamba hakuna uchoyo wa materials mbali mbali.
Tangu mwaka 2007 Aaron alikuwa akihanngana msongo wa mawazo kutokana na kufuatwa fuatwa sana na vyomo vya sheria. Aliwahi kusema hivi kwenye mtandao wake wa facebook.
"Surely there have been times when you've been sad. Perhaps a loved one has abandoned you or a plan has gone horribly awry. ... You feel worthless. ... depressed mood is like that, only it doesn't come for any reason and it doesn't go for any either."
Aaron aliwahi kuiba nyaraka za mahakama kuu na kuziweka online zisomwe bila malipo wakati serikali ilikuwa ikitoza dola chache kwa kuweza kusoma nyaraka hizo. Zilikawani kwa muda hadi seeripozificha tena.  FBI walimchunguza lakini hawakumtia hatiani kwa wizi huo. Miaka mitatu baadaye Aaron alikamatwa huko Boston na akashitakiwa kwa wizi wa nyaraka za serikali pamoja na nyaraka za kitaaluma zaidi ya copi milioni 5 na majarida ya kitaaluma zaidi ya 1,000 ambayo yote aliyafanya yaonekane duniani kote na watumiaji waliweza kuyatumia bila kulipia.  Waendesha mashitaka walisema kuwa Aaron Swartz aliingia katika system ya MIT’s November mwaka 2010 na kuiba majarida mbalimbali na kuyagawa bure kwa njia ya mtandao. Aaron Swarts anatarajia kuzikwa Jumanne
http://img.zemanta.com/pixy.gif?x-id=8bd7c53b-8428-4005-9736-7cd0f8c1a12d


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...