ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Thursday, January 17, 2013

Zaidi ya watu 60,000 wameshauwawa Syria

Syrian soliders take aim at rebels during a battle in Aleppo's al-Liramun neighbourhood 
Wanajeshi watiifu kwa Asaaad wakipambana na waasi eneo la Aleppo's al-Liramun
 A Syrian rebel of the Halab al-Shabah battalion under Al-Tawhid brigade fires towards regime forces during clashes in the Al-Amariya district of Aleppo 
A Syrian rebel of the Halab al-Shabah battalion under Al-Tawhid brigade fires towards regime forces during clashes in the Al-Amariya district of Aleppo 
Waasi wa Halab al-Shabah wakiwalenga wanajeshi wa Assad neneo la Al-Amariya  Aleppo
 A Syrian army soldier runs across the street as others open fire during clashes with opposition fighters in the Tal al-Zarazi neighbourhood of  Aleppo 
Wanajeshi wa Rais Assad wakikatiza kwa stail eneo ambamo wapo waasi walenga shabaha walijificha katika majengo eneo la  Tal al-Zarazi  Aleppo
 A rebel  fighter poses for a photographer while holding a Russian weapon acquired from the Syrian army by Free Syrian Army rebels in the northwestern city of Maraat al-Numan, 
 Mmoja wa waasi wanaompinga Asaad akiwa ameshikilia silaha ya kirusi waliyoiteka kwa wanajeshi wa SerikaliAkaskazini Masharika mwa mji wa Maraat al-Numan
 A Sukhoi-22 fighter jet of the Syrian air force drops a 500lb freefall bomb over the town of Maraat al-Numan 
Ndege aina ya  Sukhoi-22 inayomilikiwa na Serikali ikidondosha bomu lenye uzito wa fi500lb katika mji wa Maraat al-Numan
 A man sits on the ruins of what was once his house and workshop, destroyed the day before by a 500lb bomb allegedly dropped by the Syrian air force, in the town of Maaret al-Numan in southern Idlib province 
Mwanaume amekaa kwa kuchoka baada ya kuangalia iliyokuwa nyumba yake na workshorp ikiwa imeharibiwa kabisa na bomu kutoka katika ndege eneo la Maaret al-Numan in southern Idlib
 A Syrian man salvages furniture from his home that was destroyed in bombing by government forces, in the northwestern city of Maraat al-Numan 
Mnzee akiangalia samani za ndani zilizobaki baada ya ndege za Asaad kupitia nyumba yake katika eneo la  Maraat al-Numan
 A Free Syrian Army fighter walks on posters depicting Syria's President Bashar al-Assad spread on a street in old Aleppo 
Waazi wakikanyaga kwa kulaani picha za Rais Assad katika mitaa ya Alepo ya Zamani
 Free Syrian Army fighters use poster of Syria's President Bashar al-Assad  to start a fire for heat  and making tea in Aleppo 
Baadaye wametumia picha hizo kupikia chai
 Residents play on a tank after Free Syrian Army fighters said they had defeated government troops at a military base at the town of Atareb near Aleppo 
Wananchi wakifurahia na kuchezea kifaru kilicholetwa na wanajeshi wa Assad ambao waliasi na kujiunga na upinzani katika eneo la Atareb karibu Aleppo
 Rebels and bystanders watch bulldozers clean the debris outside Dar Al-Shifa hospital in Aleppo 
Waasi na wapita njia wakiangalia Buldoza kilifanya usafi eneo la Hospitali ya Dar Al-Shifa huko Aleppo
 A rescue worker uses a flashlight to inspect the debris at Dar Al Shifa Hospital in Aleppo 
Timu ya uokoaji iliangalia kama kuna wagonjwa walionusurika baada ya ndege za Assad kulipua hospitali ya Dar Al Shifa huko Aleppo
 A Syrian boy cleans the debris outside Dar Al-Shifa hospital in Aleppo 
Mtoto akisaidia kufanya usafi katika hospitali ya  Dar Al-Shifabaada ya kupigwa bomu
 Forces loyal to Syria's President Bashar al-Assad prepare for military operations in areas of Aleppo controlled by the Free Syrian Army fighters 
Wakati huo huo, askari wa wardhini wa Assad wanajiandaa kupeleka mashambulizi zaidi baada ya ndege kulipua maeneo mengi katika maeneo ya Alepo ambayo yanadhibitiwa kwa kiasi kikubwa na waasi
 Syrian rebel fighters prepare to fire a homemade rocket on the outskirts of Aleppo 
 Mwanajeshi wa upande wa waasi akiandaa bomu la kutengeneza kwa mkono kabla ya kulilipua kwa wanajeshi waasi
 Smoke billows from burning tyres as a Syrian rebel of the Halab al-Shabah battalion under Al-Tawhid brigade fires towards regime forces during clashes in Al-Amariya district of the northern city of Aleppo
 Residents walk near damaged buildings in Khaldiyeh district in  Homs 
Raia wakiwa hawaamini uharibifu wanaouona uliotokana na mashambulizi ya ndege za Srikali huko Khaldiyeh katika mkoa wa Homs
 man walks past buildings damaged after Syrian Air Force fighter jets loyal to Syria's President Bashar al-Assad fired missiles, in Erbeen, near Damascus 
Huu ni uharibifu wa makombora ya ndege katika maeneo ya karibu na  Damascus
 Rebel fighters walk inside the grounds of the al-Maraa museum, said to be the third largest museum of Roman-era mosaics in the world, in the town of Marat al-Numan, on the Aleppo-Damascus highway 
Waasi wakiwa katika vyumba vya chini ya ardhi  katika makumbusho ya  al-Maraa ambayo ni makumbusho makubwa zaidi duniani ya kipindi cha utawala wa Kirumi katika mji wa Marat al-Numan,  Aleppo

 
Makombora yalilenga Chuo kikuu cha Alepo ambapo wanafunzi 80 waliuwawa wakiwa kwenye mitihani
  
Huyu ndiye Rais Baashar Al- Asaad ambaye familia yake imetawala kwa miaka zaidi ya 40 kwa mabavu na ambaye wananchi wengi wa Syria wameanza kumpinga tangu miaka miwili iliyopita. Inakadiriwa zaidi ya watu 60,000 wameshakufa na kadiri siku zinavyosonga mbele na kadiri waasi wanavyozidi kumsogelea Assadr damascus ndivyo nanavyozidi kuwaangamiza bila huruma. Inasemekana kwamba yale mabomu ya kibaiologia ambayo syria inayo ameshayaweka tayari kwa kuyatumia na hiyo ndoyo silaha yake ya mwisho. Kwa sasa uwezekano wa kuwashinda waasi ni mdogo sana kwani asilimia 80 ya raia wote hawamtaki na wanaungwa mkono na nchi za magharibi pamoja na nchi nyingi za uarabuni. Kwa upande wake, Asaad ambaye anatoka katika kabila dogo lenye nguvu la Alawite, anaungwa mkono na Iran, Hesbolah, Urusi na China. Kuingia kwa Urusi katika mzozo huo kumewafanya wamabe wa Magharibi yaani Marekani na washirika wake kuogopa kuingilia moja kwa moja kama walivyofanya kwa Ghadafi. Hata hivyo Uruhi na uchina wameshaanza kuwaondoa wafanyakazi wao huko Syria kwani nafasi ya Rais Assad kuishinda nguvu ya Umma ambayo imeshaamua kwamba ziwe mbivu ziwe mbichi ni lazima aondoke. Inakadiriwa ndani ya mwezi mmoja ujao Asadi anatakuwa hana tena akiba katika benk kuu hivyo au apewe misaada na Iran na Urusi au atoroke. Hata hivyo nafasi ya yeye kutoroka ni ngumu kwani waasi wameshazunguka viunga vyote vya mji mkuu na wanajeshi waliopo mikoani nao wamezungukwa hivyo hali kuendelea kuwa ngumu kwa Bwana Asaad. Marekani hata hivyo ilimwonya Asaad kwamba kama atajaribu kutumia silaha za kemikali alizo nazo basi ndipo atakapojua Obama ni nani.
 
 

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...