![]() |
| Beki wa Stars, Erasto Nyoni akimtoka beki wa Cameroon, Assou Ekotto |
![]() |
| Thomas Ulimwengu akiwa ameruka juu na kipa wa Cameroon, Efalla Komguep kuwania mpira wa juu |
![]() |
| Mbnwana Samatta akipambana na mabeki na kipa wa Cameroon |
![]() |
| Kiungo Frank Domayo wa Tanzania kulia akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Cameroon, Nyom Allan |
![]() |
| Wachezaji wa Tanzania wakishangilia bao lao lililofungwa na Samatta waliyemdandia |
![]() |
| Wa Mazembe, si wazembe; Thomas Ulimwengu akimpongeza mshambuliaji mwenzake wa TP Mazembe ya DRC, Mbwana Samatta kuifungia Stars leo |
![]() |
| Kikosi cha Cameroon leo |
![]() |
| Kikosi cha Stars leo |
![]() |
| Samatta akimfunga tela Ashu Clovis |
![]() |
| Thomas Ulimwengu akiwalamba chenga mabeki wa Cameroon |
![]() |
| Beki Shomary Kapombe akitia krosi huku beki wa Cameroon, Nyom Allan akiipisha |
![]() |
| Beki wa Cameroon, Aminou Bouba akimiliki mpira mbele ya kiungo wa Tanzania, Mwinyi Kazimoto |
![]() |
| Hapa ndipo Stars ilipopata penalti, beki Ngoula aliupitia mpira miguuni mwa Samatta akitokea nyuma ndani ya eneo la hatari |
![]() |
| Beki wa Cameroon, Assou Ekotoo akimiliki mpira mbele ya kiungo Mrisho Ngassa wa Tanzania |
![]() |
| Ekotto akimiliki mpira mbele ya Ngassa |
![]() |
| Beki Pierre Wome wa Cameroon akitafuta mbinu za kumpokonya mpira Samatta, huku Ekotto kulia akiwa tayari kutoa m |

















No comments:
Post a Comment