NYUMBANI
NAFASI ZA KAZI
MSAADA WA ELIMU
JOIN US
GOLDEN STATIONARY
INTERNET CAFE
GX100 DESIGNS
ADV
ADVERTISEMENT CORNER
HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE
Subscribe our Feed
Follow me on Twitter
Find me on Facebook
Join me on Google+
Connect with LinkedIn
SOMA HABARI
Thursday, March 14, 2013
MASHINDANO YA MAWASILIANO YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA “INFOMATRIX AFRICA” YAZINDULIWA RASMI”
Mkurugenzi wa Tume ya Sayansi na Teknologia Dr. Hassan Mshinda
akikata utepe kuashiria ufunguzi wa mashindano ya “INFOMATRIX AFRICA”
yanayoshirikisha nchi zaidi ya 17, kulia kwake ni Mkurugenzi mkuu wa shule
za Feza Ibrahim Bicaku na kushoto kwake ni Balozi wa Uturuki nchini Tanzania
Balozi Ali Davudoglu.
Baadhi ya walimu wakijadiliana jambo kuhusu maksi za washiriki wa
moja ya shindano katika hafla ya uzinduzi wa Infomatrix Africa
Mkurugenzi wa Tume ya Sayansi na Teknologia Dr. Hassan Mshinda
akiangalia na kupata maelekezo ya ubunifu wa kiteknologia kutoka kwa moja ya
washiriki wa “Infomatrix Africa” yaliyoandaliwa na shule za Feza.
Mtoto Halid Yildirin(10)kutoka nchini Uturuki akionesha kifaa
alichokibuni chenye uwezo wa kugundua na kuhamisha mabomu kutoka sehemu moja
kwenda sehemu nyingine katika ufunguzi wa “Infomatrix Africa” yaliyofanyika
jijini Dar es salaam
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment