ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Wednesday, March 27, 2013

MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA ILALA MH.JERRY SILAA AZINDUA RASMI ZIARA YA KUTEMBELEA MAKUMBUSHO YA KIHISTORIA KATIKA MANISPAA YA ILALA.



Washiriki wa Miss Utalii Tanzania Taifa 2012/13 wakiwa katika Mnara wa Mashujaa uliopo Mnazi Mmoja , Manispaa ya Ilala
Washiriki wa Miss Utalii Tanzania 2012/13 wakiwa nje ya Jengo la Manispaa ya Ilala
  Washiriki wa Miss Utalii Tanzania 2012/13  Taifa  wakiwa katika Moja ya Kumbukumbu hizo
 Washiriki wa Miss Utalii Taifa 2012/13 wakiwa na Afisa Utamaduni wa Manispaa ya Ilala Bi. Shani wa kwanza kushoto, ambaye ndiye alikuwa anatoa maelezo yote ya kina kuhusiana na eneo hilo Muhimu kwa Taifa la Tanzania.
 Washiriki wa Miss Utalii Tanzania 2012/13 wakiwa katika Picha ya Pamoja
  Mmoja wa washiriki wa Miss Utalii Tanzania 2012/13 , kutoka Kanda Maalum ya Zanzibar akitoa Shukurani kwa niaba ya Warembo wenzake.
Rais wa Miss Utalii Tanzania Ndugu Erasto G. Chipungahelo, akielezea kwa kina juu ya mashindano ya Miss Utalii Tanzania 2012/13 na kumshukuru Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Mh. Jerry Silaa kwa kuwakaribisha katika Manispaa Hiyo.
 Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Muheshimiwa Jerry Silaa akiwakaribisha washiriki wa Miss Utalii Tanzania 2012/13 katika Manispaa ya Ilala
 Muheshimiwa Jerry Silaa Akizungumza na Washiriki wa Miss Utalii Tanzania
Washiriki wa Miss Utalii Tanzania Taifa 2012/13 wakiwa katika Picha ya pamoja na Muheshimiwa Meya wa Manispaa Jerry Silaa

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...