ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Monday, March 18, 2013

RWAKATARE ASOMEWA MASHITAKA YA UGAIDI

 
Wakili wa Rwakatare, Tundu Lisu (kulia) akimuelekeza jambo Mbuge wa Arusha Mjini, Godbless Lema wakati wakijaribu kuandaa mipango ya dhamana.
 
Rwakatare akionesha alama ya vidole viwili wakati akipelekwa kizimbani.
 
Wakili Peter Kibatara akiweka mambo sawa kabla ya kuanza kumtetea Rwakatare.
 
Wanachama na mashabiki wa Chadema wakionesha alama ya vidole viwili kabla ya kesi kuanza.
 
Wakili Nyaronyo Kicheere akimuelekeza jambo Godbless Lema baada ya kesi kuahirishwa, kulia ni Tundu Lisu.
 
Wanachama wa Chadema wakiwa wametawanyika nje ya mahakama baada ya kesi kumalizika.
 
Rwakatare akipelekwa rumande baada ya kunyimwa dhamana.
 
Mke wa Rwakatare akitahayari baada ya mumewe kunyimwa dhamana.

Source: Global Publishers

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...