ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Sunday, March 3, 2013

TASWIRA ZA UZINDUZI WA VICOBA NA MAPOKEZI YA MHE. EDWARD LOWASSA JIJINI MWANZA


Waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa (wapili kutoka kulia) akikata utepe wa kuashiria uzinduzi wa Vikoba vya umoja wa wanawake wa madhehebu ya Kikristo Mwanza, kulia ni askofu wa Kanisa la Anglican Diosisi ya Nyanza (DVN) Boniface Kwangu akiwa ameshikilia kiasi cha shilingi millioni 40 zilizochangwa ikiwa ni pamoja na hudhi na ahadi zilizowekwa kutunisha Vikoba, Mkuu wa mkoa wa Simiyu Paschal Mabiti pia anaonekana pichani wa pili kushoto .



Mh Waziri Mkuu mstahafu ambaye ni Mbunge wa Monduli Edward Lowasa akisalimiana na mmoja wa wawakilishi wa wazee wa Mwanza Ally Zagamba ikiwa ni sehemu ya makaribisho kwenye uwanja wa ndege wa jiji la Mwanza jana, ambapo leo anategemewa kufanya uzinduzi wa Vikoba Kanisa la Anglican Nyamanoro pia siku ya leo inatambulika kimataifa kuwa ni Siku ya Maombezi ya Wanawake Duniani.

Mh Waziri Mkuu mstahafu ambaye ni Mbunge wa Monduli Edward Lowasa akisalimiana Mama Kemylembe (Mrs Jack Fish) kwenye uwanja wa ndege wa jiji la Mwanza jana, ambapo leo anategemewa kufanya uzinduzi wa Vikoba Kanisa la Anglican Nyamanoro pia siku ya leo inatambulika kimataifa kuwa ni Siku ya Maombezi ya Wanawake Duniani.

Mh Waziri Mkuu mstahafu ambaye ni Mbunge wa Monduli Edward Lowasa akisalimiana kada wa CCM Bi. Flora Magabe kwenye makaribisho uwanja wa ndege wa jiji la Mwanza jana, ambapo leo anategemewa kufanya uzinduzi wa Vikoba Kanisa la Anglican Nyamanoro pia siku ya leo inatambulika kimataifa kuwa ni Siku ya Maombezi ya Wanawake Duniani.

Mh Waziri Mkuu mstahafu ambaye ni Mbunge wa Monduli Edward Lowasa akisalimiana na Kada namba moja wa CCM mkoani Mwanza Emmanuel Nzungu akiwa sehemu ya watu waliojitokeza kumlaki kwenye uwanja wa ndege wa jiji la Mwanza jana, ambapo leo anategemewa kufanya uzinduzi wa Vikoba Kanisa la Anglican Nyamanoro pia siku ya leo inatambulika kimataifa kuwa ni Siku ya Maombezi ya Wanawake Duniani.

Mh Waziri Mkuu mstahafu ambaye ni Mbunge wa Monduli Edward Lowasa akisalimiana na Mama Rugaco kwenye uwanja wa ndege wa jiji la Mwanza jana, ambapo leo anategemewa kufanya uzinduzi wa Vikoba Kanisa la Anglican Nyamanoro pia siku ya leo inatambulika kimataifa kuwa ni Siku ya Maombezi ya Wanawake Duniani.

Mh Waziri Mkuu mstahafu ambaye ni Mbunge wa Monduli Edward Lowasa akisalimiana na MNEC wa jimbola Busega Mh. Chegeni katika makaribisho ya mapokezi uwanja wa ndege wa jiji la Mwanza jana, ambapo leo anategemewa kufanya uzinduzi wa Vikoba Kanisa la Anglican Nyamanoro pia siku ya leo inatambulika kimataifa kuwa ni Siku ya Maombezi ya Wanawake Duniani.

Mh Waziri Mkuu mstahafu ambaye ni Mbunge wa Monduli Edward Lowasa akisalimiana na mdau mwingine wa Mwanza Mr. Eddo Masama ikiwa ni sehemu ya makaribisho ya mbunge huyo kwenye uwanja wa ndege wa jiji la Mwanza jana.

Mh Waziri Mkuu mstahafu ambaye ni Mbunge wa Monduli Edward Lowasa akisalimiana na mfanyabiashara wa Mwanza Mr. Eddo Masama ikiwa ni sehemu ya makaribisho ya mbunge huyo kwenye uwanja wa ndege wa jiji la Mwanza jana.

Msafara wa viongozi mbalimbali pamoja na wananchi kutoka uwanja wa ndege Mwanza kwa mapokezi ya Mh Waziri Mkuu mstahafu ambaye ni Mbunge wa Monduli Edward Lowasa , ambapo leo anategemewa kufanya uzinduzi wa Vikoba Kanisa la Anglican Nyamanoro , ulioandaliwa na wanawake toka madhehebu ya kikristo jiji la Mwanza, pia siku ya leo inatambulika kimataifa kuwa ni Siku ya Maombezi ya Wanawake Duniani.

Msafara wa viongozi mbalimbali pamoja na wananchi kutoka uwanja wa ndege Mwanza kwa mapokezi ya Mh Waziri Mkuu mstahafu ambaye ni Mbunge wa Monduli Edward Lowasa , ambapo leo anategemewa kufanya uzinduzi wa Vikoba Kanisa la Anglican Nyamanoro , ulioandaliwa na wanawake toka madhehebu ya kikristo jiji la Mwanza, pia siku ya leo inatambulika kimataifa kuwa ni Siku ya Maombezi ya Wanawake Duniani.

Makaribisho zaidi, shughuli ya uzinduzi wa Vikoba

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...