ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Sunday, March 3, 2013

RAIS KIKWETE AKUTANA NA MWENDESHA MASHTAKA MKUU WA MAHAKAMA YA KIMATAIFA (ICC) IKULU JIJINI DAR


Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa (ICC), Bibi Fatou Bensouda wakati alipomtembelea ikulu jijini Dar es Salaam jana.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa (ICC) Bibi Fatou Bensouda (wa pili kushoto) mara baada ya…
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa (ICC), Bibi Fatou Bensouda wakati alipomtembelea ikulu jijini Dar es Salaam jana.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa (ICC) Bibi Fatou Bensouda (wa pili kushoto) mara baada ya kufanya mazungumzo ikulu jijini Dar es Salaam jana.Wengine katika picha kushoto ni Mwanasheria Mkuu Jaji Frederick Werema, Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Bibi Angellah Kairuki (wa nne kushoto) na kulia Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali Bwana Felesh.
(Picha na Freddy Maro - Ikulu)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...