Habari za kustaafu kwa wanasoka zinasidi kuitikisa nchi ya Uingereza
baada ya magwiji wa soka na kocha maarufu kustaafu kufundisha soka.
Wiki moja baada ya kustaafu kwa Sir
Alex Ferguson, Paul Scholes, leo hii mchezaji wa zamani wa Man United na
nahodha wa zamani wa England DAVID BECKHAM ametangaza kustaafu.
Beckham mwenye umri wa mika 38,
ameisadia Paris Saint-Germain PSG Kutwaa ubwingwa Ligue 1 nchini
Ufaransa kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 19 mwishoni mwa wiki
iliyopita
Pamoja na kupewa ofa ya mkataba mpya
na timu hiyo ya Ufaransa, mkongwe huyo atastaafu baada ya mchezo wa
mwisho tarehe 26 mwezi huu
baada ya magwiji wa soka na kocha maarufu kustaafu kufundisha soka.
Wiki moja baada ya kustaafu kwa Sir Alex Ferguson, Paul Scholes, leo hii mchezaji wa zamani wa Man United na nahodha wa zamani wa England DAVID BECKHAM ametangaza kustaafu.
Beckham mwenye umri wa mika 38, ameisadia Paris Saint-Germain PSG Kutwaa ubwingwa Ligue 1 nchini Ufaransa kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 19 mwishoni mwa wiki iliyopita
Pamoja na kupewa ofa ya mkataba mpya na timu hiyo ya Ufaransa, mkongwe huyo atastaafu baada ya mchezo wa mwisho tarehe 26 mwezi huu
No comments:
Post a Comment