nikiwa njiani kuelekea Akemi Golden Jubelee Plaza kulikokokuwa kukifanyika uzinduzi wa kinywaji cha NOVIDA |
Sikuwa peke yangu,niliongozana with ma boy,Romy Jones |
Naheshimu sana fans wangu,hawa ni moja ya fans wangu waliotaka picha ya ukumbusho baada ya kuniona nikiingia |
Nikipata picha pamoja na fans wangu |
Upande wa kaunta |
Baadhi ya wageni waalikwa na waandishi wa habari wakisubili time ya kuzinduliwa rasmi kinwaji cha NOVIDA |
Mrembo akifungua kitambaa kama ishara ya kuzinduliwa na kutambulishwa |
No comments:
Post a Comment