Katibu wa jumuiya na taasisi za kiislamu nchini shekh Ponda Issa Ponda amepandishwa kizimbani katika mahakama ya hakimu mkazi mkoani Morogoro kujibu mashitaka matatu yanayomkabili ambayo ni kutotii amri halali, kutoa maneno yenye nia ya kuharibu imani za dini na kushawishi kutenda kosa.
No comments:
Post a Comment