MAREHEMU NEMELA MANGULA
Shughuli ya kuaga mwili imefanyika nyumbabni kwa Baba wa marehemu, Philip Mangula pale Masaki, Dar es Salaam, na utasafirishwa Agosti 20, 2013 kwenda Njombe kwa ajili ya mazishi.
Shughuli ya kuaga mwili imefanyika nyumbabni kwa Baba wa marehemu, Philip Mangula pale Masaki, Dar es Salaam, na utasafirishwa Agosti 20, 2013 kwenda Njombe kwa ajili ya mazishi.
Mtoto wa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Philip Mangula, Neema Mangula (25) alifariki dunia jumamosi usiku kwa ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Aga Khan Wilayani Ilala. Alikumbwa na mkasa huo wakati akitokea kwenye sherehe ya harusi ya ndugu yake iliyokuwa ikifanyika katika Ukumbi wa Waterfront uliopo Gerezani.
No comments:
Post a Comment