ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Friday, September 13, 2013

Lowassa akutana na Wanavyuo Tabora



lowas1_b7b1a.jpg
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa (katikati) akiongozana na baadhi ya Viongozi wa Chama cha Mapinduzi Mkoani Tabora, wakati alipokuwa akiwasili kwenye Ofisi za CCM Wilaya ya Tabora Mjini, mchana wa jana Septemba 13, 2013.
lowasa6_34980.jpg
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akizungumza machache kwenye mkutano wake wa Mkoa wa Tabora.
lowasa9_6f637.jpg
Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Tabora Mjini, Seif Gulamali akizungumza machache mbele ya Wanafunzi wa Vyuo mbali mbali Mkoani Tabora leo.
lowasa10_b9241.jpg
Baadhi ya wanafunzi hao kutoka Vyuo mbali mbali Mkoani Tabora, wakiuliza maswali

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...