
 Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya 
Hesabu za Serikali (PAC) Mhe. Zitto Kabwe akimweleza jambo Mwenyekiti wa
 Umoja wa Kamati za Bunge za Hesabu za Serikali kutoka nchi zilizo 
kusini mwa jangwa la sahara (SADCOPAC) ambaye pia ni mwenyekiti wa PAC 
kutoka Bunge la Afrika Kusini Mhe. Sipho Makama wakati wa mapumziko ya 
Mkutano wa 10 wa SADCOPAC unaendelea Arusha.

 Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya 
Hesabu za Serikali (PAC) Mhe. Zitto Kabwe akiwasilisha Taarifa ya 
Tanzania ya utekelezaji wa Maazimio ya Mkutano wa 8 na 9 ikiwa ni 
matakwa ya Wajumbe wa Mkutano huo ambapo kila Nchi wanachama huwasilisha
 taarifa hiyo.

 Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya 
Hesabu za Serikali (PAC) Mhe. Zitto Kabwe akiwasilisha Taarifa ya 
Tanzania ya utekelezaji wa Maazimio ya Mkutano wa 8 na 9 ikiwa ni 
matakwa ya Wajumbe wa Mkutano huo ambapo kila Nchi wanachama huwasilisha
 taarifa hiyo.

  Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) Mhe. 
Zitto Kabwe akiuliza swali wakati wa majadiliano ya mkutano wa Umoja wa 
Kamati za Bunge za Hesabu za Serikali kutoka nchi zilizo kusini mwa 
jangwa la sahara (SADCOPAC) unaoendelea Arusha.

Mjumbe
 wa Mkutano wa Mwaka wa SADCOPAC kutoka Tanzania Mhe. Asumpta 
Mshama akiuliza swali wakati wa majadiliano ya mkutano wa Umoja wa 
Kamati za Bunge za Hesabu za Serikali kutoka nchi zilizo kusini mwa 
jangwa la sahara (SADCOPAC) unaoendelea Arusha. Tanzania imewasilisha 
utekelezaji wa maazimio ya mikutano ya 8 na 9 katika mkutano huo. Picha na Bunge
No comments:
Post a Comment