ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Wednesday, September 25, 2013

Mkuu wa Majeshi, Jenerali Davis Mwamunyange Aongoza Mamia Ya Waombolezaji Kuaga Mwili Wa Askari Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ)Marehemu Private, Hugo Munga Aliyefariki dunia Septemba18 Pretoria Afrika Kusini Kufuatia Majeraha Aliyoyapata Akiwa na Vikosi vya MONUSCO Congo DRC Katika Operations ya Kuwaondoa Waasi wa M23


 Askari Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) wakiwa wamebeba sanduku lililohifadhi mwili wa Askari mwenzao, Marehemu Private, Hugo Munga alifariki dunia Septemba 18 mwaka huu huko Pretoria Afrika Kusini kufuatia majeraha aliyoyapata akiwa na vikosi vya MONUSCO Congo DRC katika operations ya kuwaondoa waasi wa M23. Mwili wa Munga ulisafirishwa jana kwenda Mkoani Kilimanjaro kwa mazishi. Shughuli hiyo ya kuaga mwili wa marehemu ilifanyika Viwanja vya Jeshi Lugalo, Dar es Salaam jana 
 Mama wa Marehemu, Jovitha Barnaba Munga akisaidiwa kuaga mwili wa mwanae.
 Mkuu wa Majeshi, Jenerali Davis Mwamunyange akizungumza
Viongongozi mbalimbali wa Siasa(wa pili kushoto ni katibu mwenyekiti wa chadema na mbunge wa hai freeman mbowe) na Jeshi wakiwa katika shughuli hiyo.
 Wanajeshi wa JWTZ waliokuja kumuaga Mwanajeshi mwenzao Marehemu Jovitha Barnaba Munga.
 Baadhi ya waombolezaji ambao ni Askari wenzake marehemu pamoja na wana familia wakiwa eneo la tukio.
Wanajeshi wa JWTZ waliokuja kumuaga Mwanajeshi mwenzao Marehemu Jovitha Barnaba Munga.Picha Zote na Mroki Mroki

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...