ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Wednesday, October 23, 2013

Askofu wa kanisa Katoliki afukuzwa kwa matumizi ya Anasa (Atumia Tshs 62,000,000,000)

PAPA FRANCIS AMTIMUA ASKOFU "MPENDA ANASA AU BISHOP OF BLING" WA UJERUMANI..

Askofu wa Limburg Ujerumani  Franz-Peter Tebartz-van Elst, amefunguliwa mashitaka na mamlaka za Jiji laHamburg October 10, 2013 kutokana na matumizi makubwa na ya kifahari ya ujenzi wa jumba la Askofu na matumizi mengine makubwa
VATICAN CITY: Hata hivyo, Papa Francis amemsimamisha kazi kwa muda Askofu huyo kutokana na kashfa hiyo ya matumizi ya zaidi ya uro milioni 31 (Sawa na Tsha 61,000,000,000) Kwa ajili ya Ujenzi wa makazi mapya ya Askofu na ukarabati mwingine wa kanisa kuu.
atican haikusema kama askofu Franz-Peter Tebartz-van Elst atafukuzwa moja kwa moja ila ilimteuwa Monsignor Wolfgang Roesch, kama mzimamizi wa kitume wakati ambambo askofu atakuwa hayupo.
  Katika taarifa yake, Vatican imesema kuwa Askofu Tebartz-van Elst hatoweza kufanya shughuli zake za kitume kutokana na hali halisi katika jimbo hilo (In a statement, the Vatican said the situation in the diocese had become such that Tebartz-van Elst "could no longer exercise his episcopal ministry.)"

Hata hivyo Askofu huyo alitetea mzimamo wake wa ujenzi wa gharama kubwa kwa kuwa kulikuwa na sheria mpya katika kufanyia ukarabati majengo ya kihistoria, na kwamba kulikuwa na porjects nyingine kumi. 

 
Jumba la kuishi Askofu huyo
 
Kathedral iliyofanyiwa ukarabati
 
Gari la kifahari la Askofu huyo

  

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...