ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Tuesday, October 29, 2013

Mwanaume mrefu kuliko wote duniani aoa mke mfupi kwa nusu yake



   
 
 

 

 Ankara Uturuki, Sultan Kosen, raia wa Uturuki mwenye urefu wa futi nane na mwenye rekodi ya Guiness ya kuwa mtu mrefu kuliko wote duniani, amefunga ndoa na mwanamke wa Syria mwenye urefu wa meter 1.75. "Siwezi kuelezea furaha niliyokuwa nayo leo" alisema Sultan mwenye umri wa miaka 31 wakati akisherehekea harusi yake na Mervi Dibo mwenye umri wa miaka 20. 
Harusi yao ilifanyika jumapili iliyopita huko Syria.Suti ya bwana harusi ilishonwa kwa kutumia kitambaa cheusi chenye ukubwa mwa meter 6.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...