ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Monday, November 11, 2013

NANI ATAUKWAA UANASOKA BORA AFRIKA MWAKA HUU?



Akiwa mchezaji wa zamani wa timu ya vijana ya AC MILAN, Pierre Emerick anayechezea Saint Etienne kwa mkataba wa kudumu, yumo ndani ya wanaowania taji la BBC la mwanasoka bora zaidi Afrika 2013.
Victor Moses ni mchezaji mwenye umri wa miaka 22, ambaye kwa sasa anachezea klabu yake ya nne ya Liverpool
Akiwa mchezaji wa timu ya Chelsea ya England kwa miaka saba, John Mikel Obi ameteuliwa kuwania taji la BBC la mwanasoka bora zaidi mwaka 2013
Wasifu wa Jonarthan Pitroipa pamoja na tathmini ya mchezo wake kwani mmoja wa walioteuliwa kuwania taji la mwanasoka bora zaidi Afrika
Mmoja wa wachezaji walioteuliwa kuwania tuzo la BBC la mwanasoka bora zaidi barani Afrika mwaka 2013

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...