ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Sunday, November 17, 2013

WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO WAGOMA KUFUNGUA MADUKA

 
 
 
Wafanyabiashara Kariakoo na Baadhi Ya Maeneo ya Karume wamegoma kufungua maduka Leo Hii kwa sababu hawazitaki mashine za risiti walizoagizwa na TRA


 
Hii sio mara ya kwanza inatokea hapa nchini Tuliskia arusha waligoma juzi 


Mwanza baadhi ya maeneo 
Na Dodoma pia 
so Inabidi TRA wajipange bana 
Laki Nane ni ndefu sana kwa mfanya biashara wa kawaida wa kiTanzania 
lakini pia si kwamba hawawez kuilipa iyo laki nane,ila tatizo ni muda ulo wekwa na TRA Kulipia izo Mashine

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...