ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Saturday, December 14, 2013

AJALI YATOKEA DARAJA LA MLALAKUWA, MIKOCHENI JIJINI DAR



Ajali imetokea majira ya asubuhi ya leo katika daraja la Mlalakuwa, Mikocheni jijini Dar ambapo gari hiyo Inayoonekana kuharibika vibaya ilitumbukia katika mto huo na kusababisha kifo cha Mtu mmoja ambaye anaonekana akielea juu ya maji.Picha Kwa Hisani ya Kajunason Blog

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...