ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Saturday, December 14, 2013

Waziri wa Nishati na Madini akutana na Ujumbe kutoka Benki ya Dunia kuzungumzia Masuala ya Gesi

unnamed_3d3fb.jpg
Waziri wa Nishati na Madini Mhe.Profesa Sospeter Muhongo,Baadhi ya Wajumbe kutoka Benki ya Dunia wakichangia taarifa iliyowasilishwa kuhusu masuala ya Gasi wakati wa kikao baina yao
unnamed_1_539c6.jpg
Bw. Albert Zeufack Mtaalamu toka Benki ya Dunia akiwasilisha taarifa ya kuhusu Masuala ya Gasi
unnamed_2_7faaf.jpg
Kamishna Msaidizi anayesimamia masuala ya Gasi Asilia Engineer Nobert Kahyoza akitoa ufafanuzi wakati wa kikao hicho
unnamed_3_eb8ec.jpg
Kamishna Msaidizi anayesimamia Maendeleo ya Nishati Bw. James Andikile akisisitiz ... hicho katikati ni Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Profesa Sospeter Muhongo
Picha na ( Asteria Muhozya - Nishati na Madini)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...