
Misululu ya magari ilikuwa ni ya kawaida kuonekana nyakati za asubuhi na
jioni wakati watu wakielekea na kutoka kazini, lakini sasa foleni
zimekuwa ni za kawaida katikati ya jiji na maeneo mengine ambayo
ukarabati wa barabara unaendelea wakati wote. Picha na Maktaba
No comments:
Post a Comment