ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Monday, March 10, 2014

Picha Kutoka Kampeni Za CCM Leo Iringa


  Wananchi wakimshangilia Mgimwa wakati akinadiwa na Joyce Msambatavangu, mtk wa ccm mkoa wa Iringa ktk Kijiji cha Tanangozi.
 Mgimwa akihutubia kijiji cha Mseke.
 Wananchi wakimshangilia mgombea wa CCM, katika uchaguzi mdogo jimbo la kalenga, Godfrey Mgimwa, alipohutubia mkutano wa kampeni katika kijiji cha Sadani, Kata ya Mseke, leo Machi 9, 2014.
 Mkt CCM mkoa wa Iringa, Joyce Msambatavangu akihutubia mkutano wa kampeni Kijiji cha  Mseke.
 Wananchi wakimbeba Mgimwa kumpeleka jukwaani  katika kijiji cha  Mseke.
Mgimwa akiwa amebebwa na wananchi baada ya mkutano wake Kijiji cha Tanangozi, kata ya Mseke.
Shangwe na Hoi hoi Tanangozi wakati akipowasili Mgimwa kufanya mkutano wa kampeni.
  Msela akiwa amembeba Mgimwa kumpelekea kwenye gari baada ya mkutano katika kijiji cha Wende uliofanyika wakati mvua inanyesha.
Mgimwa akipigwa na mvua nje ya gari wakati akiwaaga wananchi katika Kijiji cha Wende jimbo la Kalenga leo.
Mwananchi wa Kijiji cha Msese akisema CCM dole tupu.
 Wananchi wa kijiji cha Mseke wakifuatilia kwa makini Mgimwa alipohutubia ktk kijiji hicho.jpg
Mgimwa akipigwa na mvua nje ya gari wakati akiwaaga wananchi katika Kijiji cha Wende jimbo la Kalenga leo.Picha na Bashir Nkromo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...