Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Usimamizi wa Kanda wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Benson Kigaila akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari.
Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Usimamizi wa Kanda wa Chama
cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Benson Kigaila akionesha barua
za kuomba vibali vya kufanya maandamano katika maeneo mbalimbali
nchini.
Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Usimamizi wa Kanda wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Benson Kigaila (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habariDar es Salaam leo, kuhusu maandamano ya chama hicho yatakayoanza leo nchini kote kupingakuendelea kwa bunge Maalumu la Katiba linaloendelea Dodoma. Kulia ni× Kada wa Chadema, Aron Mashuve na Mwanasheria wa chama hicho, John Malya.
No comments:
Post a Comment