ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Tuesday, January 27, 2015

Balozi wa Jamhuri ya Korea amtembelea Waziri wa Ujenzi Ofisini kwake jijini Dar es Salaam

Displaying 1.JPG
 Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
kulia akizungumza na Balozi wa Jamhuri ya Korea, Chung Il kuhusiana
na mambo mbalimbali kuhusu sekta ya Ujenzi pamoja na mchakato
wa Ujenzi wa Daraja jipya litakalopita baharini pembezoni mwa daraja
la Selander.Daraja hilo litakuwa na urefu wa kilomita 7.2 na uwezo wa
kupitisha magari zaidi ya 61,000 kwa siku. Ujenzi wa Daraja hilo utaanza
muda wowote kuanzia sasa. Daraja hilo litakuwa na njia nne za magari
pamoja service road njia za waenda kwa miguu kila upande.
Displaying 2.JPG
 Balozi wa Jamhuri ya Korea Chung Il akisaini kitabu cha
wageni ofisini kwa Waziri wa Ujenzi.
Displaying 3.JPG
 Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
kulia akiagana na Balozi wa Jamhuri ya Korea Chung Il mara baada ya
kufanya mazungumzo ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam.
Displaying 4.JPG
 Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akijadiliana
jambo na Balozi huyo wa Jamhuri ya Korea Chung Il pamoja na Katibu
Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Musa Iyombe na Mkurugenzi wa Barabara
Eng. Ven Ndyamukama. Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-
Wizara ya Ujenzi.
                                     

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...