
Mkurugenzi
wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), Ephraim Mafuru (wa pili
kulia) akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
Pamoja naye ni Meneja Masoko wa SBL, Allan Chonjo (wa pili kushoto).

Mkurugenzi
wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), Ephraim Mafuru (wa
kwanza kulia) akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es
Salaam. Pamoja naye ni Meneja Masoko wa SBL, Allan Chonjo (kushoto).

Meneja
Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), Allan Chonjo (wa pili
kushoto) akizungumza na wanahabari leo jijini Dar es Salaam. Pamoja naye
ni Mkurugenzi wa Masoko wa SBL, Ephraim Mafuru (wa pili kulia)

Mkurugenzi
wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), Ephraim Mafuru (wa
kwanza kulia) akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es
Salaam.

Meneja
Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), Allan Chonjo (wa pili
kushoto) akizungumza na wanahabari leo jijini Dar es Salaam. Pamoja naye
ni Mkurugenzi wa Masoko wa SBL, Ephraim Mafuru (wa pili kulia)

Meneja
Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), Allan Chonjo (wa pili
kushoto) akionesha kizibo cha bia ambacho ndani yake kutakuwa na zawadi
au namba zitakazotumwa na mteja kwa wanahabari leo jijini Dar es Salaam.
Pamoja naye ni Mkurugenzi wa Masoko wa SBL, Ephraim Mafuru (wa pili
kulia)


Shamrashamra ya Uzinduzi wa promosheni ya Shinda safari kwenda nchini Brazil,kupitia pia ya Serengeti

Shamrashamra ya Uzinduzi wa promosheni ya Shinda safari kwenda nchini Brazil,kupitia pia ya Serengeti

Baadhi
ya mabalozi wa Bia ya Serengeti wakionesha shoo kwa wananchi baada ya
uzinduzi wa Shinda safari kwenda nchini Brazil,kupitia pia ya Serengeti

Baadhi
ya wafanyakazi wa SBL na wananchi wakishuhudia Uzinduzi wa promosheni
ya shinda safari kwenda nchini Brazil,kupitia pia ya Serengeti
uliofanyika leo.

Uzinduzi wa promosheni ya shinda safari kwenda nchini Brazil,kupitia pia ya Serengeti uliofanyika leo.
Na Thehabari.com
*Zaidi ya milioni 700 Kushindaniwa Kupitia Bia ya Serengeti
KATIKA
mpango mwingine wa kutambua thamani ya wateja, Kampuni ya Bia ya
Serengeti (SBL) leo imezindua kampeni ya kufaidisha wateja ambapo baadhi
ya wateja watashinda safari iliyolipiwa kwenda nchini Brazil, hii ikiwa
ni moja kati ya zawadi nyingi nyingine zitakazoshindaniwa. Kampeni hii
imeanza tayari na itaendelea kwa muda wa kipindi cha miezi mitatu wateja
kujishindia.