
Vijana wa Scout wakimvisha skafu
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya kuwasili katika
uwanja wa ndege wa Mafia jana asubuhi ambapo alifungua uwanja wa ndege wa
Mafia na kuzindua Gati la Mafia.Rais Kikwete yupo katika ziara ya
kikazi ya mkoa wa Pwani.