ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI
Showing posts with label mabomu. Show all posts
Showing posts with label mabomu. Show all posts

Monday, May 13, 2013

MTUHUMIWA WA ULIPUAJI WA BOMU KATIKA KANISA OLASITI, AFIKISHWA MAHAKAMANI NA KUSHOMEWA MASHTAKA 21 ARUSHA



Mtuhumiwa Bomu Kanisani Arusha, Victor Ambrose Calist (20).


MTUHUMIWA mmoja kati ya tisa waliotiwa mbaroni na jeshi la polisi baada ya kutokea mlipuko wa bomu katika Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi amefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka 21 ya ma

uaji na kujaribu kuua.
Kesi ya mshtakiwa Victor Ambrose Calist (20) ambaye ni dereva wa bodaboda na mkazi wa eneo la Kwa Mromboo jijini Arushai amesomewa mashtaka yake mbele ya Hakimu mkazi, Devotha Kamuzora.

Mtuhumiwa huyo anakabiliwa na mashtaka matatu ya mauaji ya watu watatu waliofariki dunia katika tukio ambalo lililotokea Mei 5, mwaka huu.
Mawakili wa serikali, Haruna Matagane na Zachariah Elisaria wanadai Calist pia anatuhumiwa kwa makosa 18 ya kujaribu kuua. Hata hivyo makosa mengine bado hajatajwa mpaka hivi sasa.

Pia polisi imewaachia huru raia wanne wa kigeni waliokuwa wakishikiliwa kwa tuhuma za kuhusika katika tukio hilo baada ya uchunguzi uliofanywa na jeshi hilo kwa kushirikiana na FBI na polisi wa kimataifa (Interpol), kubaini hawakuhusika kurusha bomu katika kanisa 

Friday, April 19, 2013

Picha za walipuaji mabomu Boston Marekani zapatikana (Bendera ya Tanzania yaonekana ikipepea eneo a mlipuko)




 

The FBI has released video and photos of two "armed and extremely dangerous" suspects in the Boston Marathon bombing and appealed for the public's help in identifying them.
"Somebody out there knows these individuals as friends, neighbors, co-workers or family members," Boston FBI Special Agent in Charge Richard DesLauriers said at a Thursday evening briefing.
"Though it may be difficult, the nation is counting on those with information to come forward and provide it to us.
FBI
These are among the photos of the suspects in the Boston Marathon bombing released by the FBI.
"We consider them to be armed and extremely dangerous," DesLauriers added. "No one should approach them...If you see these men, contact law enforcement."
The images show two men in baseball caps and dark jackets who were seen walking together through the crowd at Monday's iconic race.

Monday, April 15, 2013

Mabomu mawili yalipuka kwa mfululizo jana Boston Marekani na kusababisha vifo vya watu wawili na wengine kadhaa kujeruhiwa.



Mlipuko huo ulitokea katika eneo lakumalizia mbio za Marathon ambapo kwa kawaida huwa na watu wengi na milipuko hii imetoka muda mchache tu baada ya mojawapo ya wakimbiaji kupita katika eneo hilo. Bado uchunguzi unaendelea kujua chanzo cha milipuko hiyo.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...