ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI
Showing posts with label ugaidi. Show all posts
Showing posts with label ugaidi. Show all posts

Tuesday, February 24, 2015

Wakristo zaidi ya 80 watekwa nyara Syria



Nchini Syria zaidi ya Wakristo 80 wametekwa nyara kaskazini mashariki mwa nchi. Inasadikiwa kuwa watu hao wametekwa nyara na wanamgambo wa makundi ya kiislamu, baada ya kuvamia vijiji kadhaa katika mkoa wa Hassaké, mkoa unaopiganiwa na wanajihadi, ambao uko mikononi mwa wapiganaji wa Kikurdi kutoka Iraq.
Wengi mwa wakazi wa vijiji hivyo wameyahama makazi yao, lakini makumi ya raia hao, ikiwa ni pamoja na wanawake na watoto, wanasadikiwa kutekwa nyara na wanajihadi.
Kwa mujibu wa shirika la haki za binadamu nchini Syria (OSDH) pamoja na mashirika mengi ya Kikisto yanayoendesha harakazi zao Ulaya na Amerika ya Kaskazini, wanamgambo wa kundi la wapiganaji wa Dola la kiislamu (IS) wamevamia vijiji kadhaa vinavyopatikana kusini mwa mto Khabour, eneo linalopatikana katika uwanja wa mapigano, ambalo linagawa wapiganaji wa Kikurdi kutoka Syria na mahasimu wao wa IS.
Shambulio hilo lilinaaminika kuwa limeendeshwa mapema Jumanne asubuhi wiki hii. Familia kadhaa zilikimbia eneo hilo mapema, kwa kuhofia kuuawa na wanamgambo hao. Hata hivyo wapiganaji wa IS wamewateka nyara watu walio kati ya 90 na 200, kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali.
Kwa mujibu wa shirika la misaada kwa raia wa Syria ADFA, wanaume wametenganishwa na wanawake pamoja na watoto.
Inaaminiwa kuwa wapiganaji wa IS wameomba kubadilishana wafungwa na wapiganaji wa Kikurdi wanaoshirikiana na wanamgambo wa Kikristo.
Kwa mujibu wa taarifa ambayo tuliyonayo, mapigano makali yanaendelea katika eneo hilo. Mapigano ambayo yalisababisha raia kuyahama makazi yao na kukimbilia kaskazini na katika maeneo ya Wakurdi kutoka Syria, ambayo yako mbali na wapiganaji wa Dola la Kislamu.CHANZO:I.R.F

Friday, April 19, 2013

Picha za walipuaji mabomu Boston Marekani zapatikana (Bendera ya Tanzania yaonekana ikipepea eneo a mlipuko)




 

The FBI has released video and photos of two "armed and extremely dangerous" suspects in the Boston Marathon bombing and appealed for the public's help in identifying them.
"Somebody out there knows these individuals as friends, neighbors, co-workers or family members," Boston FBI Special Agent in Charge Richard DesLauriers said at a Thursday evening briefing.
"Though it may be difficult, the nation is counting on those with information to come forward and provide it to us.
FBI
These are among the photos of the suspects in the Boston Marathon bombing released by the FBI.
"We consider them to be armed and extremely dangerous," DesLauriers added. "No one should approach them...If you see these men, contact law enforcement."
The images show two men in baseball caps and dark jackets who were seen walking together through the crowd at Monday's iconic race.

Monday, April 15, 2013

Mabomu mawili yalipuka kwa mfululizo jana Boston Marekani na kusababisha vifo vya watu wawili na wengine kadhaa kujeruhiwa.



Mlipuko huo ulitokea katika eneo lakumalizia mbio za Marathon ambapo kwa kawaida huwa na watu wengi na milipuko hii imetoka muda mchache tu baada ya mojawapo ya wakimbiaji kupita katika eneo hilo. Bado uchunguzi unaendelea kujua chanzo cha milipuko hiyo.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...