ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Tuesday, November 13, 2012

Mwenyekiti Mstaafu wa CCM, Benjamin Mkapa akiongoza Mkutano Mkuu wa Nane wa CCM Mjini Dodoma Leo

  
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM
Mwenyekiti Mstaafu wa CCM, Benjamin Mkapa akiongoza Mkutano Mkuu kwa muda baada ya Kikwete kujiuzulu.
Kinana na Makinda wakifuatilia kwa makini Mkutano mkuu wa CCM

Mzee Yusuf Makamba akimfanyia kampeni Kikwete

  
 Mdau wa Aboubakar Liongo wa DW akifanya mahojiano na Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapunduzi Mstaafu, Aman Abeid Karume nje ya ukumbi wa Kizota mjini Dodoma ambako mkutano wa nane wa Chama cha Mapinduzi CCM.  Karume alikuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar nafasi ambayo imekwenda kwa Rais wa sasa Dk. Ali Mohamed Shein.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...