Kamanda Asas wa UVCCM mkoa wa Iringa akitazama nakala ya UHURU alipotembelea banda la kampuni ya Uhuru Publications Ltd, wanaochapishaji wa magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani, kwenye viwanja vya Kizota
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete na meza kuu, wakishiriki kucheza wimbo maalum ulimbwa na Vicky Kamata kabla ya kuanza mkutano huo




No comments:
Post a Comment