ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Tuesday, March 5, 2013

MHE. LOWASSA AENDA MSIBANI KWA BENSON MOLLEL NA KUTOA MKONO WA POLE


0022222222 cb1eb


0022222 b8f52
Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa ametoa pole nyumbani mwa mjumbe wa baraza kuu la Umoja wa Vijana CCM Benson Mollel aliyefariki katika mazingira ya kutatanisha jana hotelini jijini Arusha.
Mh Lowassa akiwapa pole baadhi ya ndugu na jamaa wa marehemu Benson Mollel
002222222 2c582
Mh Lowassa akiwa na mwenyekiti wa CCM Monduli(kulia) Ruben Kunei na mjumbe wa halmashauri kuu taifa NEC (kushoto) Mathias Manga
0022222222 cb1eb
Mh Lowassa akitoa pole kwa mama mzazi wa Mollel nyumbani kwao Daraja Mbili Arusha

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...