ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Tuesday, March 5, 2013

Waziri Mkuu wa Denmark Awasili Tanzania, Apokelewa na Rais Jakaya Kikwete


 Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Waziri mkuu wa Denmark Mhe. Helle Thorning-Schmidt muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam jana jioni.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na mgeni wake Waziri mkuu wa Denmark Mhe. Helle Thorning-Schmidt wakipokea heshima za nyimbo za Taifa pamoja na saluti ya mizinga 21  katika uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Waziri mkuu wa Denmark Mhe. Helle Thorning-Schmidt akipkea shada la maua.
Waziri mkuu wa Denmark Mhe. Helle Thorning-Schmidt akikagua gwaride lililoandaliwa kwa heshima yake
Waziri mkuu wa Denmark Mhe. Helle Thorning-Schmidt akisalimiana na kinamama waliofurika uwanjani kumlaki.
Waziri mkuu wa Denmark Mhe. Helle Thorning-Schmidt na mwenyeji wake wakifurahia burudani mbalimbali zilizokuwa zikitolewa uwanjani hapo.Picha na Freddy Maro- IKULU

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...