ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Monday, March 4, 2013

TAARIFA KUTOKA TANESCO


 
Shirika la umeme nchini Tanesco limesema tatizo la ukatikaji wa umeme linaloikabili inchi hivi sasa linatokana na kutumia mitambo ya dharura kuzalisha umeme ambayo inatumia gharama kubwa kuiendesha, matengenezo makubwa yanayoendelea katika kituo cha Ubungo pamoja na uharibifu uliotokea katika mfumo wa Songosongo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...