ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Thursday, May 30, 2013

Mtoto aokolewa kwenye bomba la choo huko China


Polisi na waokoaji wakikata bomba ili kumwokoa mtoto aliyeflashiwa chooni.
 Sehemu ya bomba ambapo mtoto huyo alikwama
 The tiny face of a newborn baby boy is revealed as rescuers cut apart a sewage pipe at a hospital in Jinhua, China, on Saturday, May 25.
Uso wa mtoto huyo ukionekana akiwa katika bomba la choo
Nurses attend to the infant inside a local hospital. 
Madaktari wakihangaika kuokoa maisha ya kichanga huyo
The newborn baby is pictured in the hospital after being rescued. Mtoto akiendelea kupatiwa watibabu
 The baby is reportedly in stable condition at the hospital, while local police are investigating the mother, who says she unexpectedly gave birth while sitting on the toilet.
Mtoto aliyeokolewa chooni akiwa anapewa maziwa.

Beijing China
 Wapangaji katika nyumba moja huko Mashariki mwa China walishutuliwa na mlio kama wa sungura au paka na walipoangalia ni nini waliona mguu wa mtoto mchanga ukionekana katika sehemu ya bomba la maji ya chooni. Waokoaji walijaribu kwanza kumvuta mtoto kabla hawajakata kipande cha bomba ili kumwokoa yule mtoto. Baada ya kushindwa kuchomoa kwenye lile bomba hata baada ya kulikata ilibidi wapeleke kipande cha bomba ambamo bado mtoto alikuwa amenasa, katika hospitali ya karibu iitwayo Jinhua. 
Madaktari pamoja na waokoaji walijitahidi kutumia koleo na mikasi hadi kumota kichanga huyo ambaye bado hata kondo lilikuwa bado halijakatwa.
Jana mtoto huyo ambaye anajulikana kama "baby 59" alikuwa anaendelea vizuri na alikuwa akilishwa maziwa.
 

Maajabu ya mama wa mtoto
Mama wa mtoto huyo anatajwa na polisi kuwa na umri wa miaka 22. Polisi wanasema hadi sasa wanaamini maelezo ya huy mama ambaye yeye anadai kuwa alijirikia tumbo kumuuma ghafla na akajisikia kwenda haja kubwa. Hata hivyo siku zake za kujifungua zilishatimia. Mara mtoto akatoka wakati yeye akijisaidia hajakubwa na kutumbukia choooni
Mwanamke huyo aliwaambia maafisa wa polisi kuwa hakukusudia kutupa mtoto huyo chooni ila ilitokea kwa bahati mbaya bila yeye kujua. Hata hivyo mama huyo alijaribu kumvuta mtoto kwa kijiti akashindwa hivyo akaamua kuflash choo ili kuongoa damu lakini mtoto naye akaondoka na maji.


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...