.Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha katika
hoteli ya Protea Cortyard jijini Dar es Salaam, Mjumbe wa Kamati Kuu na
Mwenyekiti wa Mambo ya Nje wa Chama Cha Kikomunisti cha Vietnam Hoang
Quan, baada ya mgeni huyo na ujumbe wake kuwasili kwa ajili ya
mazungumzo na Kinana, jana, Juni 6, 2013.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha katika
hoteli ya Protea Cortyard jijini Dar es Salaam, Mjumbe wa Kamati Kuu na
Mwenyekiti wa Mambo ya Nje wa Chama Cha Kikomunisti cha Vietnam Hoang
Quan, baada ya mgeni huyo na ujumbe wake kuwasili kwa ajili ya
mazungumzo na Kinana, jana, Juni 6, 2013.
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula akimpa zawadi ya
sanamu ya twiga iliyotengenezwa kwa vyuma chalavu, Mjumbe wa Kamati Kuu
na Mwenyekiti wa Mambo ya Nje wa Chama Cha Kikomunisti cha Vietnam
Hoang Quan, wakati wa chakula cha mchana kwenye mgahawa wa Akemi, jijini
Dar es salaam. Sanamu hiyo ni ubunifu unaofanywa na kikundi cha
walemavu jijini Dar es salaam
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akimshukuru Mjumbe wa
Kamati Kuu na Mwenyekiti wa Mambo ya Nje wa Chama Cha Kikomunisti cha
Vietnam Hoang Quan, baada ya mazungumzo yao katika hoteli ya Protea
Courtyard, Dar es salaam, leo. Kushoto ni Dk. Asha Rose Migiro na watatu
kushoto ni Nape Nnauye.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (wapili kulia)
akizungumza na Mjumbe wa Kamati Kuu na Mwenyekiti wa Mambo ya Nje wa
Chama Cha Kikomunisti cha Vietnam (CVP), Hoang Quan (wapili kulia),
katika hoteli ya Protea Cortyard jijini Dar es Salaam. Jana Juni 6, 2013.
Kushoto ni Katibu wa NEC ya CCM, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk.
Asha-Rose Migiro na Watatu kushoto ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi,
Nape Nnauye.
Mjumbe wa
Kamati Kuu na Mwenyekiti wa Mambo ya Nje wa Chama Cha Kikomunisti cha
Vietnam Hoang Quan, akizungumza katika hoteli ya Protea
Courtyard, Dar es salaam, jana.
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Phili Mangula akizungumza wakati
wa chakula cha mchana kilichoandaliwa kwa ajili ya ujumbe wa Mjumbe wa
Kamati Kuu na Mwenyekiti wa Mambo ya Nje wa Chama Cha Kikomunisti cha
Vietnam Hoang Quan (wapili kushoto) katika Mgahawa wa Akemi jijini Dar
es Salaam.jana. Picha zote na Bashir Nkoromo
No comments:
Post a Comment