ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Saturday, August 31, 2013

LULU AZINDUA FILAMU YA “FOOLISH AGE”

lulu 5ea37
Elizaberth Michael (Lulu) akizungumza na wageni wakati wa uzinduzi filamu yake ya Foolish Age iliyotengenezwa na Kampuni ya Proin Promotion kwenye ukumbi wa Mlimani. (HM)

lulu2 f36a2Wageni waalikwa wakitazama burudani mbalimbali zilizokuwa zikiendelea.
lulu4 1e938Mwenyekiti wa Kampuni ya Proin Promotion, Johnson Lukaza akizungumza na wageni.
lulu3 9958fj
 Elizabeth Michael Aka Lulu akitoa Shukrani kwaWadau wote waliojitokeza katika Usiku wake wa uzinduzi wa Filamu yake Mpya iitwayo Foolish Age uliofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City Usiku wa Kuamkia Leo
 Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya Proin Promotions Limited Geofrey Lukaza (Kushoto) akiwa na Waifu wake Groly Lukaza (katikakati) pamoja na Pedeshee Mamaa Ng'onzi wakijiachia Mbele ya Kamera ya Lukaza Blog usiku wa kuamkia Leo katika uzinduzi wa Filamu ya Lulu iitwayo Foolish Age katika Ukumbi wa Mlimani City chini ya kampuni ya Proin Promotions Limited
 Lady Jay Dee aka Anaconda akitoa Burudani katika Uzinduzi wa Filamu mpya ya Lulu iitwayo Foolish Age iliyotengenezwa na Kampuni ya Proin Promotions Limited, Lady Jay Dee akiwa pamoja na Machozi Band walitoa Bururdani Safi Sana katika Uzinduzi huo Uliofanywa na Kampuni ya Proin Promotions Limited katika Ukumbi wa Mlimani City usiku wa Kuamkia Leo
Msanii Barnaba akitoa burudani katika uzinduzi wa Filamu mpya ya Lulu uliofanya na Kampuni ya Proin Promotions Limited katika ukumbi wa Mlimani City Usiku wa Kuamkia leo
 Katikati ni Mama Mzazi wa Elizabeth Michael akiongea kwa furaha huku akitoa machozi na Msanii wa Filamu Tanzania Wema Abraham Sepetu(kushoto) na Rafiki yao katika Uzinduzi wa Filamu ya Lulu ulioandaliwa na kufanywa na Kampuni ya Proin Promotions Limited katika Ukumbi wa Mlimani City usiku wa Kuamkia Leo
 Wema Sepetu (aliyepiga magoti) akikumbatiana na Mama yake mzazi Lulu wakati wa Uzinduzi wa Filamu ya Mwanae Elizabeth Michael katika Ukumbi wa Mlimani City, uzinduzi uliokwenda sambamba na burudani kutoka Kwa Wasanii mbalimbali wa Muziki wa Bongo Fleva katika Ukumbi wa Mlimani City usiku wa Kuamkia leo.
Wadau wakisakata Mduara katika uzinduzi huo wa filamu ya Lulu iitwayo Foolish Age uliofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City Usiku wa kuamkia leo, Uzinduzi huo wa Kufa mtu uliofanywa na Kampuni ya Proin Promotions Limited ulifana kupita Kiasi
 Baadhi ya Wadau Mbalimbali waliojitokeza katika Uzinduzi huo uliofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City chini ya Kampuni ya Pron Promotions Limited.
Meza ya Viongozi wa Kampuni ya Proin Promotions Limited Kuanzia Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Proin Promotions Limited Bw Geofrey Lukaza, akifuatiwa na Pedeshee Mamaa Ng'onzi, Bwa Johnson Lukaza Mwenyekiti waa Makampuni ya Proin Tanzania, Gadna G Habash na Lady Jay Dee aka Anaconda wakiwa makini Kufuatilia Uzinduzi Mzima wa Filamu Mpya ya Lulu iitwayo Foolish Age uliofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City chini ya Kampuni ya Proin Promotions Limited.
Paul SekaBoy Mkurugenzi Wa Sekaboyi Production akiwa na rafiki yake katika uzinduzi wa Filamu ya Lulu iitwayo Foolish Age katika Ukumbi wa Mlimani City Usikuwa kuamkia leo


Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Lady jay Dee akituzwa Mahela katika Uzinduzi wa Filamu Mpya ya LULU iitwayo Foolish Age ndani ya ukumbi wa Mlimani City Usiku wa Kuamkia leo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...