ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Monday, September 16, 2013

LOWASSA ASIMIKWA KUWA CHIFU WA UNYENYEMBE MKOANI TABORA

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Edward Lowassa akivishwa vazi maalum la Kichifu pamoja na kukabidhiwa mkuki na Chifu Mkuu wa Kabila la Unyenyembe, Chifu Msagata Fundikira ikiwa ni ishara ya kumsimika kuwa Chifu wa Kabila hilo, wakati wa Sherehe za Maadhimisho ya Kumbukumbu ya Mtemi Isike Mwanakiyungi aliefariki miaka 124 iliyopita. Sherehe hizo zimefanyika jana kwenye Kijiji cha Itetemya, mkoani Tabora.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Edward Lowassa pamoja na Chifu Mkuu wa Kabila la Unyenyembe, Chifu Msagata Fundikira wakishirikiana kuweka jiwe la msingi katika eneo litakalojengwa mnara wa kumuenzi Mtemi Isike Mwanakiyungi aliefariki miaka 124 iliyopita.
 
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Edward Lowassa pamoja na Chifu Mkuu wa Kabila la Unyenyembe, Chifu Msagata Fundikira wakiwa kwenye picha ya pamoja na machifu kutoka mikoa mbalimbali hapa nchini walioshiriki kwenye Sherehe za Maadhimisho ya Kumbukumbu ya Mtemi Isike Mwanakiyungi aliefariki miaka 124 iliyopita.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...