ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI
Showing posts with label Papa Francis. Show all posts
Showing posts with label Papa Francis. Show all posts

Tuesday, December 3, 2013

Netanyahu ampa Papa Francis zawadi ya kitabu cha kumbukumbu ya mataso ya Wayahudi waliyofanyiwa na Wakatoliki wa Spain karne ya 15



 Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu meets with Pope Francis

Papa Francis akipokea kitabu alichopewa kama zawadi na Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu katika Baktaba ya Papa huko Vatican jana


Jana Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ametembelea Papa Francis katika Makao yake huko Vatikan. Kwa mujibu wa shirika la utangazaji la DPA Netanyahu alimletea Papa Francis zawadi mbalimbali lakini zawadi iliyozua maswali mengi ni kitabu  kinachohusu uteswaji wa Wajahudi huko Uhispania kiitwacho "The Origins of the Inquisition in Fifteenth-Century Spain,"
Kitabu hiki kiliandikwa na baba yake Netanyahu miaka ya nyuma na kinaelezea jinsi Wahispania walivyowatesa, kuwachoma moto na kuwasulubisha Wayahuni ambao walikataa kuingia katika Ukristo (ukatoliki) Kitabu hiki kinaeleza bayana mateso hayo na na kueleza jinsi Wayahudi wengine walivyoamua kuwa Wakatoliki lakini wakawa wanashika dini yao ya Kiyahudi kwa siri. Mates ohayo yaliendelea hadi Papa Innocent wa IV alipopiga marufuku juu ya mates ohayo.
Baba mzazi wa Netanyahu, mzee ben-Sayuni Netanyahu aliyefariki mwaka jana tu akiwa na miaka 102 alikuwa akifundisha katika chuo kikuu ya Kiebrania na chuo kikuu cha Cornell.
Mzee huyu ingawa anatofautiana kisiasa na mwanae lakini ndiye aliyemtengeneza mwanae katika siasa zake kali.Hivyo, zawadi ya Netanyahu kwa Papa Francis inaweza kuonekana watazamaji kama ni hasira ya kimya kimya au ni ukumbusho tu wa maovu yaliyofanywa na kanisa hilo miaka ya nyuma kwa Wayahudi.
Hiki ni kitabu ambacho Waziri mkuu Netanyahu anakipa uzito wa hali ya juu si tu kwa kuwa kimeandikwa na baba yake bali pia kinaeleza ukweli kuhusu Wayahudi walivyoendelea kuiheshimu dini yao kwa siri. Kitabu hiki kinaeleza ukweli k uwa Wayahudi waliteswa si kwa sababu ya dini yao bali hasa kwa sababu ya ubaguzi wa rangi na wivu kutokana na maendeleo waliyokuwa nayo. Hili linajidhihirisha mamia ya miaka baadaye huko wakati wa mauaji yajulikanayo kama Hlocaust.
Netanyahu amempa Papa Benedict sanamu ya Mtume Paul. Mtume Paul ana nafasi kubwa sana katika mahusiano ya dini hizi mbili za zamani (Judaism &Catholicism) kwa kuwa yeye ni kiungo muhimu sana. Mtume Paul alikuwa Myahudi aliyehakikisha mafundisho ya dini ya kiyahudi yanafuatwa na aliongoka na kuingia Ukatokilikakiwa katika harakati za kuwatesa wakristo wakati huo.



carved oak  period oak   16th century  
Sanamu ya Mtakatifu Paul

Saturday, November 23, 2013

hAKUNA mASHARIKI YA KATI BILA UKRISTO; ASEMA PAPA FRANCIS


This handout picture released on November 21, 2013 by the Vatican press office shows Pope Francis during a meeting with Patriarchs and Major Archbishops of the Eastern Churches for Syria, Iraq and the Middle East at the Vatican
.

This handout picture released on November 21, 2013 by the Vatican press office shows Pope Francis during a meeting with Patriarchs and Major Archbishops of the Eastern Churches for Syria, Iraq and the Middle East at the Vatican. (AFP Photo/)
Vatican City (AFP) - Pope Francis on Thursday said the Catholic Church will not accept a Middle East without Christians, who often find themselves forced to flee areas of conflict and unrest in the region.
"We will not resign ourselves to imagining a Middle East without Christians," he said after meeting with patriarchs from Syria, Iran and Iraq, before calling for "the universal right to lead a dignified life and freely practise one's own faith to be respected."
The political upheaval that has swept the Arab world over the past three years has led to a rise of radical Islam, leaving minority Christians feeling threatened and sometimes forcing them to emigrate.
Francis said he had spoken to the patriarchs about "those who live in the Middle East, often in small flocks, in environments marked by hostility and conflicts" and "the size of the diaspora, which is notably growing."
He said he was concerned by "the situation of Christians, who suffer in a particularly severe way the consequences of tensions and conflicts in many parts of the Middle East."
"Syria, Iraq, Egypt and other areas of the Holy Land sometimes overflow with tears," he said.
Amid reports Christians are being 'punished' for the actions of Western powers, some faith experts have warned that Christianity is in danger of becoming extinct in its own cradle.
Francis said he "will not rest while there are still men and women, of any religion, whose dignity is affronted, who are stripped of the basics necessary for survival, whose future is stolen, who are forced to become refugees or displaced people."
He called on the patriarchs for "tireless zeal and that fraternal and paternal charity which bishops, priests and faithful look to us for, especially if they are alone and marginalised."
Last year, Francis' predecessor Benedict XVI used a trip to the Middle East to offer support to Christian minorities, calling on them not to emigrate or give in to a sense of "victimisation" amid the rising tide of Islamism.
Eastern Christians number between an estimated 10 and 13 million.
They make up 36 percent of the population in Lebanon, 10 percent in Egypt, 5.5 percent in Jordan, 5.0 percent in Syria, up to 2.0 percent in Iraq, 2.0 percent in Israel and 1.2 percent of Palestinians, according to the Oeuvre d'Orient Catholic association.
Among those meeting with Francis Thursday were Lebanon's Maronite Christian patriarch, Bishara Rai, the Syrian patriarch of the Melkite Greek Catholic church, Gregory Laham, and the patriarch of the Iraq-based Chaldean church, Louis Sako.
Sako told Vatican Radio that Iraqi authorities were supplying visas as part of "a whole strategy to help Christians leave Iraq", even in areas in the north of the country where they are not under threat.
"The Middle East is going to empty of Christians", he warned.
The 2,000-year-old Christian community in the country has shrunk by more than half since the 2003 US-led invasion of Iraq.
In Syria and Lebanon, Christians claim they are persecuted by rebels challenging the regime, because of their perceived allegiance to President Bashar al-Assad.

Wednesday, August 14, 2013

PAPA FRANCIS AKUTANA NA MARIO BALOTELLI NA LIONEL MESSI VATICAN CITY - KUELEKEA MCHEZO WA KIRAFIKI KATI YA ITALIA VS ARGENTINA



The Hand of God: Messi and Italy captain Gigi Buffon (left) meet the Pope on Tuesday
Golikipa wa Italia Buffon na Lionel Messi wakiwa na Papa Francis Vatican leo wakati wachezaji wa timu ya taifa ya Italia na Argentina ambao wanajiandaa na mchezo wa kirafiki baina yao walipoenda kumtembelea kiongozi huyo wa kanisa katoliki duniani.
All smiles: Balotelli and the Pope share a joke
Papa akiwa na Kichaa Mario Balotelli wakitaniana wakati wachezaji mbalimbali walipoenda kumtembelea mkuu huyo wa kanisa katoliki duniani
Friendly rivalry: Italy take on Argentina on Wednesday night
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...