ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Wednesday, January 28, 2015

Maneno ya Said Fela kuhusiana kufungwa kwa maduka ya Kariakoo

.
.
 Kufuatia kwa wafanyabiashara wa Kariakoo kufunga maduka yao Jan 27, meneja wa taasisi ya Mkubwa na Wanae, Yamoto Band na Wanaume Family Said Fella ameyatoa ya moyoni kuhusiana na tukio hilo.
Kikubwa ni kuangalia nini tatizo maana wananchi wanasema kwamba wanaonewa kwa hiyo Serikali ifike wakati waangalia wananchi wanaonewa kitu gani, maanake wanasema kule wanapolipa tozo TRA kuna utaratibu wa kulipa  fati yako, la msingi wao wanachogombania kule ni kwamba biashara zote zitumike kwa machine unakuta mtu mwingine mtaji wake mdogo anauza jeans zake saba na shati zake kadhaa ukimwambia anunue machine laki tano au laki tatu huo msingi wake haufanani na hizo hela za kwenda kununua hiyo machine, kwa hiyo naomba Serikali ikae na wananchi wazungumze suala hilo, nchi yetu ya Amani na bado tunaendelea kupenda iwe na Amani“—- Alisema Said Fela akizungumza na millardayo.com.
Hapa kuna sauti ya Said Fela akiongea na millardayo.com, isikilize kwa kubonyeza play hapa.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...