ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Sunday, June 2, 2013

MWILI WA MAREHEMU ALBERT MANGWEA HAUTAWEZA KUFIKA LEO JUMAPILI



Kamati ya msiba tunaomba kutoa taarifa kwamba mwili wa marehemu ndugu yetu Albert Mangwair hautafika siku ya Jumapili ya tarehe 02/06/2013 kama ilivyokuwa imepangwa hapo awali,hii ni kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu.
Kwa sasa tunasubiri taarifa kamili kutoka kwa wawakilishi 
waliopo Afika Kusini,maratutakapopata taarifa hizo tutawafahamisha zaidi.
Tunaomba radhi kwa watanzania wote kwa usumbufu wote uliojitokeza..tuendelee kuvumilia

 

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...